Back to News
AdmissionsAugust 23, 2026
Tangazo: Pre-Form One Program na Usaili wa Kidato cha Kwanza 2026
TANGAZO
Tutaanza Pre - Form One Program kuanzia tarehe 16 Septemba mpaka Desemba 2026 kwa Gharama ya Tsh. 200,000 tu. Karibuni!
Usaili wa Kidato cha Kwanza
Usaili wa Kidato cha kwanza utafanyika kila siku kuanzia tarehe 15 Septemba Shuleni Tumaini Jema.
Fomu zinapatikana:
- Msimbazi Centre - Chumba Na. 12 na 19
- Shuleni Tumaini Jema
Gharama ya fomu ni Tsh. 15,000. Karibuni!
Wasiliana Nasi
- 📞 0755 472 721
- 📞 0759 106 442
Category:Admissions